Rahimu dikomwe
Member
- Mar 22, 2017
- 64
- 67
UshiRikiano utapata, ila tuoneshe vyeti kwanzaasalam aleykum wakuu humu ndani ndio kwanza najiunga na nyny ili kushea maoni,hija na mambo mengine ya msingi nafadhali naomb ushilikiano wenu..
Mi nahisi huyu ni bashite mwenyeweKaribu sana ila usiwe na akili za kibashite.
mkuu vyeti yena?Weka cheti chako cha four kwanza
asante mkuu nakushukuruKaribu sana mkuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu sio mmMi nahisi huyu ni bashite mwenyewe
chati za nn mkuu?mkuu vyeti yena?
hahahahahaha sio mm kakaMi nahisi huyu ni bashite mwenyewe
asante nashukuruKaribu mpka ndan
Kama siyo nashite basi call me Jei[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu sio mm