Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana ndugu watu8
You're welcome...
Asante kwa ukarimu wako. shida yangu ni moja. ni katika kubahatisha ndo nimejiunga na nkajua namna ya kuchangia mada na hata kumquote mtu. ila jambo moja lililonizingua ni kumention jina la mtu mngne. kama unaweza plz nielekeze.
Habar zenu wanajamvi. Nimekuwa nikilifuatilia sana jamvi hili kwa muda. Na nilikuwa nikitaman sana kuwa nanyi. Nashkur leo nimefanikiwa naomben mnipokee. Asanten