Mimi mgeni humu. Naombeni mnipokee

pedama

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2015
Posts
236
Reaction score
144
Habar zenu wanajamvi. Nimekuwa nikilifuatilia sana jamvi hili kwa muda. Na nilikuwa nikitaman sana kuwa nanyi. Nashkur leo nimefanikiwa naomben mnipokee. Asanten
 
You're welcome...

Asante kwa ukarimu wako. shida yangu ni moja. ni katika kubahatisha ndo nimejiunga na nkajua namna ya kuchangia mada na hata kumquote mtu. ila jambo moja lililonizingua ni kumention jina la mtu mngne. kama unaweza plz nielekeze.
 
Asante kwa ukarimu wako. shida yangu ni moja. ni katika kubahatisha ndo nimejiunga na nkajua namna ya kuchangia mada na hata kumquote mtu. ila jambo moja lililonizingua ni kumention jina la mtu mngne. kama unaweza plz nielekeze.

Kabla ya jina la muhusika weka alama ...

Mfano kabla jina Watu8 ukiweka alama @ litatokea Watu8

Hakikisha hakuna nafasi kati ya alama @ na jina...
 
Last edited by a moderator:
Kabla ya jina la muhusika weka alama ...

Mfano kabla jina Watu8 ukiweka alama @ litatokea Watu8

Hakikisha hakuna nafasi kati ya alama @ na jina...

Asante mkuu Watu8. kweli uliz upate jibu. Thank u very much.
 
Last edited by a moderator:
Karibu, umeleta zawadi gani tupokeee?

Mmmh! sikujua kama ntapokelewa hivi ndo maana cjabeba zawad. lkn kwa kuwa nimeshafika bas tutazd kushrikiana.
 
Habar zenu wanajamvi. Nimekuwa nikilifuatilia sana jamvi hili kwa muda. Na nilikuwa nikitaman sana kuwa nanyi. Nashkur leo nimefanikiwa naomben mnipokee. Asanten

Karibu sana mgeni jamvini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…