Mimi mgeni ndugu zangu wana JF Naombeni mnipokee

mkata kamba

Member
Joined
Apr 4, 2017
Posts
9
Reaction score
6
Naombeni mnipokee ndugu zangu, tushirikiane kimawazo katika kile takachoomba msaada wenu, na wale watakao omba msaada pia kama nina uelewa na hicho kitu tutasaidiana kimawazo. Asanteni
 
Yaani nimekatisha usingizi kwa ajili yako ili nije nikukaribishe mgeni! Karibu sana!!! Hii ndo JF, nyumba ya wote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…