mimi mgeni , nikaribisheni ndugu zangu

pretoria

Member
Joined
Nov 6, 2013
Posts
12
Reaction score
3
mimi ni raia wa Tanzania , mkazi wa Shimo la Udongo, nimekua msomaji wa mijadala humu kwa miaka mingi, nami naja kuongeza michango ya hapa na pale.
 
mimi ni raia wa Tanzania , mkazi wa Shimo la Udongo, nimekua msomaji wa mijadala humu kwa miaka mingi, nami naja kuongeza michango ya hapa na pale.
Karibu sana jamvini. Huko shimo la udongo ndio wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…