Karibu sana.Habari za mida hii wana jukwaa,
Mimi ni mgeni wenu, Baada ya kukaa muda mrefu kama mchunguliaji tu hapa jukwaani; leo nimechukua hatua moja zaidi na kuamua kujiunga na kuwa sehemu ya wanachama wa jukwaa hili adhimu lililosheheni elimu na maarifa mbalimbali.
Wasalam.
KaribuHabari za mida hii wana jukwaa,
Mimi ni mgeni wenu, Baada ya kukaa muda mrefu kama mchunguliaji tu hapa jukwaani; leo nimechukua hatua moja zaidi na kuamua kujiunga na kuwa sehemu ya wanachama wa jukwaa hili adhimu lililosheheni elimu na maarifa mbalimbali.
Wasalam.
Karibu sana.
Kwa hiyo ulikuwa unatupiga chable[emoji23]
Karibu sana bwashee.hahaha ndio mkuu,
Nimepiga sana chabo hadi nikanogewaaa...ile nimetaka ku reply na ku-comment nikashindwa! Wakaniambie hadi nijiunge niwe mwanachama. Bhas sikuwa na budi bali kuchukua hatua na hatimae tuko hapa.
Ok nawa mikono nje hapo njoo tujumuikeAsante bwashee
Barakoa ni muhimu na sanitizer pia... ila mikusanyiko ndio haiepukiki.
Habari za mida hii wana jukwaa,
Mimi ni mgeni wenu, Baada ya kukaa muda mrefu kama mchunguliaji tu hapa jukwaani; leo nimechukua hatua moja zaidi na kuamua kujiunga na kuwa sehemu ya wanachama wa jukwaa hili adhimu lililosheheni elimu na maarifa mbalimbali.
Wasalam.
Weka picha acha longolongo usajili wako hauwezi kamilikaBaridii... wacha nikasafishe negative kwanza.
Hmm[emoji52]Karibu sana mkuu,ukihitaji wa kukutembeza kuonyesha majukwaa nipo hapa.