Moyibi
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,054
- 701
Wasaalam...ndugu zangu wa Jf...kama mlivyoona kichwa cha habari hapo juu..nimeamua kupiGa hii kozi chini..coz naona sikupangiwa kumaliza hii kozi..anatoMy imenikimbiza kabisa...!! Na ingekuwa pouwa sana kama mngenisaidia majibu ya haYa maswali Yangu...
1. Utaratibu wa ku-post kozi kwa hapa sua ukoje
2. Mwaka huu na mpango wa kuomba biotechnlgY udzm..je still kuna muda au ndo ivYo tena mpaka mwakani?
3. Na vipi? Kuhusiana na bodi Ya mkopo nitawarudishia kiasi gani cha pesa ni ada tu au ni mpaka meal n accomodation?
4. Je nikiwarudishia pesa Yao..je kuna uwezekano wa kupata tena mkopo kwa mwaka huu..nikiwa nimekidhi viwango vYao..
Ni haYO tu !! Kwa leo ushauri wako unahitajika na c' kejeli... Ni kheri ukaenda kusoma miaka3 Ya biotech kuliko kusoma miaka zaidi ya 5...Ya BVM..!!
1. Utaratibu wa ku-post kozi kwa hapa sua ukoje
2. Mwaka huu na mpango wa kuomba biotechnlgY udzm..je still kuna muda au ndo ivYo tena mpaka mwakani?
3. Na vipi? Kuhusiana na bodi Ya mkopo nitawarudishia kiasi gani cha pesa ni ada tu au ni mpaka meal n accomodation?
4. Je nikiwarudishia pesa Yao..je kuna uwezekano wa kupata tena mkopo kwa mwaka huu..nikiwa nimekidhi viwango vYao..
Ni haYO tu !! Kwa leo ushauri wako unahitajika na c' kejeli... Ni kheri ukaenda kusoma miaka3 Ya biotech kuliko kusoma miaka zaidi ya 5...Ya BVM..!!