Aisee!!!! Nishaelewa kilichokuwa kinatafutwa ktk hii thread. Masomo mema ndugu yangu...kutoka kwa mama ako
hopeless kabisa pspa sio kozi rahisi , sina lenyewe la kizembe kizembe toa uzembe wakokuandika kwenyewe hujui, anatomy utaiwezea wapi? Wewe ni kilaza, hata kozi rahisi kama za polirical science na zenyewe utazikimbia
alipiga i.5 c b gna wasiwasi na matokeo yako ya kidato cha sita.lazima ulinunua mtihani.
na jinsi lilivyo jinga na bongolala eti polirical ndiyo nini?kuandika kwenyewe hujui, anatomy utaiwezea wapi? Wewe ni kilaza, hata kozi rahisi kama za <<polirical> >science na zenyewe utazikimbia
ze duduz....
nlipokua o-level mwalimu wangu alinishauri nisome masomo yote 9 lakini nkawa mbishi ila mwisho wa siku ndio yaliyonifikisha hapa nilipo!! je ningesema ni magumu na kuacha ningekua wapi??? nachoweza kusema ni hamna sehem ambayo ni rahisi hapa duniani!!!! lakin jua PENYE MLIMA NDIPO PANA MTEREMKO!!! embu jaribu kucheki future kati ya BVM na hiyo biotechnology ya udsm!!! ipi iko na future nzuri?? BVM?? BIOTECNOLOGY??(tafakari).....alafu mbona ni mapema sana,embu tulia..then mtafute mentor(mshauri wako wa elimu) wako mjadili,hata wale wa mwaka wa 2,3,4,5!!
BVM kwa ushauri wangu ni sehem nzuri chamwimu komaa ila matunda yake utayaona few years to come!!! jaribu kufuta hayo mawazo kichwani kwako,alafu uone hali itakuaje!!! embu jaribu kuchukulia BVM ni mkeo(g.f) then akakupa song ya think twice ya celine dione kama dedication(jokin)...
nawasilisha.......
kutoka kwa mama ako
ACHA kAULI ZA AJABU WEWEEEE KAMA UMEKOSA MFANO UNGENYAMAZA TUUkwi kwi kwi kwi kwi,msamehe kaka hajui ugumu wa hyo coz huyo,wamezoea kozi za <<hgl hata chizi anafaulu>>,hawaujui mziki wa sua hao,pole kaka
Twende ze2 ze dudu achana na hao waliokuwa wanatoa maneno ya mikeka!!!BVM yaukweli chalii sema 2 msuli!ila mi naamin unaeza!mi niko AGRONOMY 2na Prof. Mrema anakwambia alimsikia Nyerere akisema "It can be done,just play your part" lets play our parts bro n lets do this!!!Akili bado inachemka na bado kijana so lets roll!!!!!PIGA KAZ BRO BADO MAPEMA SANA!!IT CAN BE DONE!!