Mimi na BVM bhaasiii..!! Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa


daah ushaurii wako ulisaidia sana
 
This thread was just too nice for me....lol
Kama bado Ze Dudu unapiga BVM,hongera kwa kufanya the wisest decision...hop God iz standin on ya path ma pal...
 
Last edited by a moderator:
mmmmh....! na me ndo naingia huko kwenye anatomy itabidi nifate mbinu zako asap
 
This thread was just too nice for me....lol
Kama bado Ze Dudu unapiga BVM,hongera kwa kufanya the wisest decision...hop God iz standin on ya path ma pal...

Kijanaa karibu sanaaa BVM .... shule ya kawaida but inabidiii usome mambo....coz mambo si lelemama
 
Last edited by a moderator:
pamoja sana kaka kama utakuja pand iziiii za sua utanichekiii kwa inbox iviii

Kama Ze duduz ulifika mahala ukakata tamaa sisi wengine itakuwaje? Mkuu endelea kututia moyo, vipi kwa wale hatukusoma Kemia hii makitu BVM tutaiweza kweli?
 
Kama Ze duduz ulifika mahala ukakata tamaa sisi wengine itakuwaje? Mkuu endelea kututia moyo, vipi kwa wale hatukusoma Kemia hii makitu BVM tutaiweza kweli?


Wewe utachizika na hiyo PGM yako...kwanza umepataje BVM bila chemia na bioz....!!:::impossible::::
 
Wewe utachizika na hiyo PGM yako...kwanza umepataje BVM bila chemia na bioz....!!:::impossible::::

Dogo acha kupiga mayowe! Mimi siyo f6 dogo, nimeipata kwa kupitia equivalent qualification. Ila naomba usinitishe kabisaaaa!! Kwani wanaoisoma ni mizimu au watu wa kawaida?
 
Wewe utachizika na hiyo PGM yako...kwanza umepataje BVM bila chemia na bioz....!!:::impossible::::

mkuu ni msulii wako tu utakao kusaidiaa yaani hapa ni mwendo wa kumeza kuelewa ni mbele kwa mbele
 
mkuu ni msulii wako tu utakao kusaidiaa yaani hapa ni mwendo wa kumeza kuelewa ni mbele kwa mbele

Hapo mkuu umenena na hivi nina ka-uzoefu ka kumeza?! Mambo mengine ni mbele kwa mbele kweli!
 
siwaletei mbwa wangu kumtibu kwa graduates wa SUA..kumbe mnakariri hamuelewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…