kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Kutokana na maelezo ya wahuni fulani katika soka hasa wakizungumzia mikataba ya wachezaji wa Simba,ninaona dalili zifuatazo katika mechi ya watani wa jadi ya tarehe 8 may.
1. Kama walivyozoea kugombanisha wasanii wa bongo fleva Diamond na Kiba, wameanza kufanikiwa kuleta influence yao kwenye soka.
2. Kutokana na sababu hiyo hapo juu,wanajua ili ushindani uendelee, lazima yanga wapate mahali pa kupumulia.Walitaka ubingwa lakini dalili zinaonesha ubingwa bado ni mgumu kwao.Sasa sehemu pekee ya wao kutokea,ni mechi ya tarehe 8.Kuna nguvu kubwa inawekezwa hapo ili kutuliza mashabiki wa yanga na mambo ya akina GSM yasijadiliwe tena kama ambavyo sasa yanajadiliwa wakilaumiwa kwa kushindwa kuchukua ubingwa.
3. Kutokana ha hayo, mechi ya tarehe 8 itakuwa ni ya kisiasa za soka zaidi kuliko ushindani.Na siasa hizi zina lengo la kuibeba yanga.Kwa hiyo upo uwezekano wa matokeo kuwa upande wa yanga.
Mwisho ninatarajia kuachana na upenzi wa hivi vilabu vikubwa kwa sababu inaonekana matokeo yao yanaamuliwa na wahuni na sio uwezo wa mpira.
Ni bora nione Simba ikicheza na timu ya nje nitajua naangalia soka na si Simba na yanga ni ujinga na kuangalia usanii tu.
Shukrani kwa wachezaji wa nje ndio walionipa matumaini sana. Tuna wachezaji wa ndani lakini tatizo baadhi ni kutojitambua
1. Kama walivyozoea kugombanisha wasanii wa bongo fleva Diamond na Kiba, wameanza kufanikiwa kuleta influence yao kwenye soka.
2. Kutokana na sababu hiyo hapo juu,wanajua ili ushindani uendelee, lazima yanga wapate mahali pa kupumulia.Walitaka ubingwa lakini dalili zinaonesha ubingwa bado ni mgumu kwao.Sasa sehemu pekee ya wao kutokea,ni mechi ya tarehe 8.Kuna nguvu kubwa inawekezwa hapo ili kutuliza mashabiki wa yanga na mambo ya akina GSM yasijadiliwe tena kama ambavyo sasa yanajadiliwa wakilaumiwa kwa kushindwa kuchukua ubingwa.
3. Kutokana ha hayo, mechi ya tarehe 8 itakuwa ni ya kisiasa za soka zaidi kuliko ushindani.Na siasa hizi zina lengo la kuibeba yanga.Kwa hiyo upo uwezekano wa matokeo kuwa upande wa yanga.
Mwisho ninatarajia kuachana na upenzi wa hivi vilabu vikubwa kwa sababu inaonekana matokeo yao yanaamuliwa na wahuni na sio uwezo wa mpira.
Ni bora nione Simba ikicheza na timu ya nje nitajua naangalia soka na si Simba na yanga ni ujinga na kuangalia usanii tu.
Shukrani kwa wachezaji wa nje ndio walionipa matumaini sana. Tuna wachezaji wa ndani lakini tatizo baadhi ni kutojitambua