Mimi na mke wangu mapenzi yetu ya kizungu waswahili wanaona wivu

Shinnok

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
236
Reaction score
564
Tunaishi uswahilini huku mi na mke wangu ambaye kwa sasa mjamzito waswahili wanatuonea wivu kwa mapenzi yetu ya kizungu

yani tunapendaga sana kunyonyana denda hadharani, hasa tukiona watu wengi. Tukitembea lazima tushikane mikono na wife anavyopenda sifa anachukuaga mkono wangu ananishikisha makalio yake njia nzima tunatembea huku nimemshika mixer kunyonyana denda.
 
Kunyonyana denda hadharani kisa mmeona watu wengi ndiyo uzungu?

Sasa mwenzio anakuomba umshike tako ili apate balance maana tumbo limemuelemea.
 
Kunyonyana denda hadharani kisa mmeona watu wengi ndiyo uzungu?

Sasa mwenzio anakuomba umshike tako ili apate balance maana tumbo limemuelemea.
tumbo lake sio kubwa
 
ha ha ha ha ha angalia wahuni wasije wakakuchapia
 
Mkuu ulipiga milioni mia ngapi vipi umezirudisha zote?karibu uraiani pole sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1492]‍♂️
 
Saawa wazungu-wabongo hayo ni mapenzi yenu hatuwapangii, me nataka tu ile t-shirt ya 'mke wangu mjamzito' mkisha print usinisahau.!! Hivi Hazard CFC na wewe hutaki nikuprintie t-shirt?? 😂 😂
 
Afanalek ngoja waje utajuta kuandika uzi kama huu
 
Wale wanafunzi waliofukuzwa na kutandikwa na mkuu wa mkoa wapo kitaa wanasumbua na hizi nyuz zao...

Ushapata laki mbili???
 
Mimi niprint kwa moyo[emoji23][emoji23][emoji23]
Saawa wazungu-wabongo hayo ni mapenzi yenu hatuwapangii, me nataka tu ile t-shirt ya 'mke wangu mjamzito' mkisha print usinisahau.!! Hivi Hazard CFC na wewe hutaki nikuprintie t-shirt?? [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…