waje wapate habari yaoWaswahil wanakuja
unashauri papuchi ianze kuliwa kwenye umri gani?Haya ndio matatizo ya kula papuchi ukubwani
tumbo lake sio kubwaKunyonyana denda hadharani kisa mmeona watu wengi ndiyo uzungu?
Sasa mwenzio anakuomba umshike tako ili apate balance maana tumbo limemuelemea.
huo sio utoto ni mapenzi bin mahabati we kama mpenzi wako akufanyii ivyo pole sana aiseeAkijifunguaa ataachaaa utoto huo
Afanalek ngoja waje utajuta kuandika uzi kama huutunaishi uswahilini uku mi na mke wangu ambaye kwa sasa mjamzito waswahili wanatuonea wivu kwa mapenzi yetu ya kizungu
yani tunapendaga sana kunyonyana denda hadharani asa tukiona watu wengi, tukitembea lazima tushikane mikono na wife anavyopenda sifa anachukuaga mkono wangu ananishikisha makalio yake njia nzima tunatembea huku nimemshika matako mixer kunyonyana denda
Saawa wazungu-wabongo hayo ni mapenzi yenu hatuwapangii, me nataka tu ile t-shirt ya 'mke wangu mjamzito' mkisha print usinisahau.!! Hivi Hazard CFC na wewe hutaki nikuprintie t-shirt?? [emoji23] [emoji23]