Mimi na wenzangu tumefurahishwa na kiwango cha Peter Banda

Mimi na wenzangu tumefurahishwa na kiwango cha Peter Banda

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Huyu dogo ana kipaji nina hakika hapa Simba Sc anapita tu kama njia. Ukimtazama kwa jicho la karibu utaona mpira mkubwa anaocheza. Mechi ya Asec aliupiga mpira mkubwa sana pamoja na kukosa magori kadhaa. Jana nilimfuatilia kwa karibu sana nimebaini ana madini mguuni.

Huyu akipata striker mtambo anayelijua goli atafanya fujo sana kiwanjani.

Mimi na mashabiki wenzangu wa Simba na Yanga na timu zote duniani tumekubali huyu dogo ni fundi. Kocha aendelee kumuamini ili atupe burudani.
 
Comments za mashabiki oya oya wanaosukumwa na mihemko ya muda mfupi.
Kiwango chake kinatakiwa kipimwe akutanapo na miamba mingine sio Ruvu
 
Comments za mashabiki oya oya wanaosukumwa na mihemko ya muda mfupi.
Kiwango chake kinatakiwa kipimwe akutanapo na miamba mingine sio Ruvu
Comments za mashabiki oya oya wanaosukumwa na mihemko ya muda mfupi.
Kiwango chake kinatakiwa kipimwe akutanapo na miamba mingine sio Ruvu
Alishapimwa kule AfCON na kwa Asec Mimosas.
 
Screenshot_20220217-095427.jpg
 
Comments za mashabiki oya oya wanaosukumwa na mihemko ya muda mfupi.
Kiwango chake kinatakiwa kipimwe akutanapo na miamba mingine sio Ruvu
tuwekee na nkane wenu
 
Huyu dogo ana kipaji nina hakika hapa Simba Sc anapita tu kama njia. Ukimtazama kwa jicho la karibu utaona mpira mkubwa anaocheza. Mechi ya Asec aliupiga mpira mkubwa sana pamoja na kukosa magori kadhaa. Jana nilimfuatilia kwa karibu sana nimebaini ana madini mguuni...
Kwa hiyo wewe siku zote tangu anasajiliwa na hata kabla hajasajiliwa kuja Simba wewe hukuona ana kipaji?

Si ndiyo ninyi mliokuwa mnasema Simba imesajili watoto mkimlenga yeye eti hana lolote ni mtoto tu!?

Badilikeni ,mpeni mtu nafasi ya kuonesha talent yake sio leo mnamnanga kesho mnasema ana kipaji kikubwa sana
 
Kwa hiyo wewe siku zote tangu anasajiliwa na hata kabla hajasajiliwa kuja Simba wewe hukuona ana kipaji?

Si ndiyo ninyi mliokuwa mnasema Simba imesajili watoto mkimlenga yeye eti hana lolote ni mtoto tu!?

Badilikeni ,mpeni mtu nafasi ya kuonesha talent yake sio leo mnamnanga kesho mnasema ana kipaji kikubwa sana
Tumechukua ushauri ✌✌
 
Back
Top Bottom