Mimi nafikiri hakuna muda ambao wanawake wamewahi kuenjoy zaidi ya hizi nyakati

Mimi nafikiri hakuna muda ambao wanawake wamewahi kuenjoy zaidi ya hizi nyakati

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Kuna namna fulani ambayo wanawake wa kileo wame evolve kuwa allergic na maisha magumu au ya kuunga kuunga. Kuna namna fulani hivi ambayo wanawake wa kileo wameweza ku-set standards zao katika hii dunia inayoongozwa na mwanaume.

Women are kind of special, maan........ yani System ya zamani imekuwa corrupted na aura ya mwanamke, mwanamke ni kiumbe ambaye ameweza kunawili ingawa hali ipo katika "ends meet". Yani kama kuna njaa duniani, yamebaki mavumbi ya kula mwanaume atampa tu hayo mavumbi mwanamke ili tu scrotum yake isiripuke.

binti wa chuo mwaka wa 1 ana i-phone ingawa baba yake amekopa aende shule, binti anaeishi yombo vituka ana suka msuko wa 50,000 kila wiki 1.5 ingawa nyumba yao ina ufa mkubwa hadi vibaka wanatunzia mali wanazopora.

Ndio maisha yamekaza sana wanangu ila sio kwa mabinti, niambie ni lini ushawahi kuona binti anaumwa na vidonda vya tumbo kisa njaa, wanaumwa vidonda kwa sababu wana over-maintain diet.
 
Back
Top Bottom