"Mimi Naogopa Sana Mume wa Mtu"...


ushindweeeee, khaaaa!
 
PICNIC nyuma ya ROSE GARDEN HOTEL

aisee kuna siku nili[otea badala ya kwenda ile bar inayofuatia kula nyama choma si nikaingia hapo PICNIC, ghafla nikaona mazingira tofauti kabisa........na mara nikaombwa hela ya soda.......nilitoka baruti hata sina hamu hapo picnic ni nomaaaaaaaaaaa!
 
The sweetness which knows no end...takes breath away for goood
 
Kumbuka kumheshimu Mungu. Ni vibaya kabisa kumtamani mume/mke wa jirani yako. wewe fanya kazi uliyotumwa, na kama anaonyesha kukuzimia, mpe ukweli kama uko hapo kikazi na si vinginevyo
 
ahahaaaa bishanga bwana toto la town wewe
 
Kumbuka kumheshimu Mungu. Ni vibaya kabisa kumtamani mume/mke wa jirani yako. wewe fanya kazi uliyotumwa, na kama anaonyesha kukuzimia, mpe ukweli kama uko hapo kikazi na si vinginevyo

Lakini huyo sio jirani yake wanakaa mbalimbali sana tu.
 
Mzingue mpaka ule mzigo man we kama mkali kwani umwachie akatize piga halafu mwambie ukweli utaona kama hajakwambia muendelee kwa siri

Hivi mmeisoma vizuri hyo SMS ya huyo dada, kwa sababu kwa jinsi nilivyoelewa mimi ni kwamba huyo dada hana tatizo na jamaa kuwa mume wa mtu ila angependa wawe makini zaidi wasije kukamatwa ugoni.
 
Kwani assignment unayotafuta ofcn kwao ina uhusiano na kuoa???
 

hahahah Bishanga u made my day hehehee dah watu mna mambo
 
Huyu ndio Bishanga bwana!
Huwa hamumunyi maneno

 

asante bishanga. Nimekuwa nikiptwa sana kwa njia hii. Nimezinduka sasa hawanipati teeeeeeeeena lol!
 

Kaka hata Mungu hapendi, ila nikuambie kitu, hakuna kitu wanawale wanapenda kma mwanamume wa mtu, kuna vitu km uhuru wa kufanya mambo yake akiwa hana mume wa mtu yaani anaweza kuwa na mahusiano mengine, pia kuna swala la care, mara nyingi wanaume waliioa wana care sana kuliko bachela kwani wao bado hawako committed sana maana wanaweza kuwatosa muda si muda, na kingine ni mambo ya uchumi, yaani mume wa mtu anaweza gharamia nyumba ndogo kuliko bachela ambao mara nyingi ni vicheche kinyama, sasa kaka kwa wanawake wa kisasa ambao bado hawaja amua kuolewa na wamesha umizwa sana kwenye penzi hupenda sana waume za watu.Huyo kk anakutega tu wala huna haja ya kumharibia mkeo, km unaona analipa na wewe home mama ananyonyesha huwezi piga mashine we "muambia tutakuwa care kwani mke wangu ana wivu mbaya" atakupa shine kiulaini.Huku tuliko wanawake wanasema mume wa mtu mtamu bwana.
 
A crushed nation of which its families are scrambled by evil did. The start of street hawkers called lost child resulted form the non satsfied with fresh of man, body calling to do until the fresh is rotten. We are really a sand and dust. Look at thee for all your did.
 
Hujatuambia kama ushaoa ama bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…