"Mimi Naogopa Sana Mume wa Mtu"...


DU! Mkuu we ni noma.nimeipenda hii theory,ngoja na mimi nikai apply sehem flan hv.
 

Bora huyo anayedai anaogopa

Nimewahi kuambiwa na mke wa mtu "mume wa mtu huliwa na mke wa mtu kama bati inavyoliwa na kutu" niakona hapa sasa thamani ya ndoa imo mashakani sana.
 
Bora huyo anayedai anaogopa

Nimewahi kuambiwa na mke wa mtu "mume wa mtu huliwa na mke wa mtu kama bati inavyoliwa na kutu" niakona hapa sasa thamani ya ndoa imo mashakani sana.

Enh! Makubwa!
 
Mume wa mtu mzuri kumchuna tu, halafu unasepa... Mwanamke anayesema hivyo anataka kucheck how interested are in her and for sure she knows what you gonna do next. Utaanza kumfanyie mikakati ya to get her or die trying.
 
Bora huyo anayedai anaogopa

Nimewahi kuambiwa na mke wa mtu "mume wa mtu huliwa na mke wa mtu kama bati inavyoliwa na kutu" niakona hapa sasa thamani ya ndoa imo mashakani sana.
Hapo kwenye red line mpaa nimedhnai Iran kisha karibia kuripua nuclear bomb.
 
Mume wa mtu mzuri kumchuna tu, halafu unasepa... Mwanamke anayesema hivyo anataka kucheck how interested are in her and for sure she knows what you gonna do next. Utaanza kumfanyie mikakati ya to get her or die trying.
Kweli hata mimi nilitaka kuanza kujaribu kama unaweza kuniruhusi nitembelee ikulu yako, hata kama $ zitatumika.
 
Kweli hata mimi nilitaka kuanza kujaribu kama unaweza kuniruhusi nitembelee ikulu yako, hata kama $ zitatumika.

Una $$$ wewe, labda ukaibe benki, ninavyojua mimi unazo za kukulisha chipsi kwa juma halafu unatutambia hapa
 
Hivi mmeisoma vizuri hyo SMS ya huyo dada, kwa sababu kwa jinsi nilivyoelewa mimi ni kwamba huyo dada hana tatizo na jamaa kuwa mume wa mtu ila angependa wawe makini zaidi wasije kukamatwa ugoni.

Womanizer; as ur name speaks, upo sahihi kbs mkuu
 
Piccasso - Arusha - Pizza..... tutapatafuta tukifika Arusha. Pako mtaa gani?
 
Mzingue mpaka ule mzigo man we kama mkali kwani umwachie akatize piga halafu mwambie ukweli utaona kama hajakwambia muendelee kwa siri

kumbe ndo hivyo unavyofanyaga shenzi type kabisa......kulana nje ya ndoa ni doa ktk maisha ya mtu....sikushauri umle kama tayari unamke is a big deal bada ya hapo.
 
Piccasso - Arusha - Pizza..... tutapatafuta tukifika Arusha. Pako mtaa gani?

Jirani na Impala Hotel, round about ya Nelson Mandela road, Njiro, Phillips na ile inayoelekea town centre. Si mahali pa kupotea, unakaribishwa mkuu!
 
kumbe ndo hivyo unavyofanyaga shenzi type kabisa......kulana nje ya ndoa ni doa ktk maisha ya mtu....sikushauri umle kama tayari unamke is a big deal bada ya hapo.
??!
lemmi tell u guyz
ku cheat ni thriller to a guy in mission, its fun to a person in love of exproling the outer world, u always come out with something a least of it is a refreshed mind
but mind u, its consequence is lethar.!!
 
Huyo dada amezimikia swaga zako. Lol!
Wanawake wengi huongea zaidi kuliko kutekeleza. Wengi hupenda waonekane wasafi mbele ya jamii wakati ni wachafu. Kauli kama hizo za kuogopa mume wa mtu, kuogopa kutoa mimba na zinginezo zipo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…