Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Huyu mpina ni hopeless kabisa!Mpina leo hii ndiyo ujifanye mwanaharakati wa kuikosoa serikali? Hivi ninyi wanasiasa acheni unafiki acheni kuwachezesha Shere waTanzania au kisa mnawaona waTanzania mburula?
Mpina kipindi ni waziri tunajua madudu yako uliyoyafanya kwa wavuvi wale wa ziwa Victoria mpaka ikafikia hatua mkawachomea nyavu zao leo unajifanya we mwanaharakati? Waombe msamaha kwanza wale uliowachomea nyavu halafu uje na uharakati wako ndipo tutakuelewa hapa!
===
Alichosema Waziri Hussein Bashe "Sitaingia kwenye rekodi ya historia ya nchi hii kuwatia umasikini wakulima wa nchi hii kama baadhi ya watu waliongia kwenye rekodi ya kuwatia umasikini wavuvi wa nchi hii"
Mpina leo hii ndiyo ujifanye mwanaharakati wa kuikosoa serikali? Hivi ninyi wanasiasa acheni unafiki acheni kuwachezesha Shere waTanzania au kisa mnawaona waTanzania mburula?
Mpina kipindi ni waziri tunajua madudu yako uliyoyafanya kwa wavuvi wale wa ziwa Victoria mpaka ikafikia hatua mkawachomea nyavu zao leo unajifanya we mwanaharakati? Waombe msamaha kwanza wale uliowachomea nyavu halafu uje na uharakati wako ndipo tutakuelewa hapa!
===
Alichosema Waziri Hussein Bashe "Sitaingia kwenye rekodi ya historia ya nchi hii kuwatia umasikini wakulima wa nchi hii kama baadhi ya watu waliongia kwenye rekodi ya kuwatia umasikini wavuvi wa nchi hii"
Mpina alifanyafa kosa gani? si alikuwa anasimamia sheria zilizokuwepo na kuwafanya wavuvi wavue kwa njia ambazo hazitaadhiri mazingira na kuzaliana kwa samaki. Kwani yeye ndiye aliyeruhusu uagizaji au viwanda kutengeneza makokoro yaliyopigwa marufuku.Mpina leo hii ndiyo ujifanye mwanaharakati wa kuikosoa serikali? Hivi ninyi wanasiasa acheni unafiki acheni kuwachezesha Shere waTanzania au kisa mnawaona waTanzania mburula?
Mpina kipindi ni waziri tunajua madudu yako uliyoyafanya kwa wavuvi wale wa ziwa Victoria mpaka ikafikia hatua mkawachomea nyavu zao leo unajifanya we mwanaharakati? Waombe msamaha kwanza wale uliowachomea nyavu halafu uje na uharakati wako ndipo tutakuelewa hapa!
===
Alichosema Waziri Hussein Bashe "Sitaingia kwenye rekodi ya historia ya nchi hii kuwatia umasikini wakulima wa nchi hii kama baadhi ya watu waliongia kwenye rekodi ya kuwatia umasikini wavuvi wa nchi hii"
Tabu gani wakati ziwa Victoria kwa upande wa huku Busega wanavua bwerereHujui hata ulichokiandika, sasa hivi dagaa na samaki ziwa victoria wanapatikana kwa tabu, wavuvi hao hao wanamlilia Mpina yaani leo hii ndio wanajua alichokifanya Mpina kilikuwa na faida kwao na kwa jamii yao kuliko hata walaji wengine. Umasikini unawanyemelea wavuvi hivi sasa hata wakesema wanauza zana zao za uvuvi hakuna wa kununua hali ni mbaya. Usilete siasa watu wanaumia huko.