Mimi nawakana, hawa sio Wakristo

Mimi nawakana, hawa sio Wakristo

Hawa walilishwa nyasi😂
images (1).jpeg
 
Kazi ipo, Ujinga wa kuaminika na Usiolipiwa kodi unalipa sana.
 
Religion is the opium of the people....
 
Hao ni wagalatia wenzako ni sawa na matunda ya Apple tu,yote ni matufaha ila yana types zao.
 
Labda itakuwa hawa ni waislam maana haya yanatokea msikitini🥱😀
 
Back
Top Bottom