Mimi Ndiye Mshamba au ni Kwamba sifuatilii mambo ya Miziki?

Mimi Ndiye Mshamba au ni Kwamba sifuatilii mambo ya Miziki?

TUKANA UONE

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2018
Posts
2,345
Reaction score
6,970
Aisee sikuwahi kujua kama wimbo wa Maria ulioimbwa na mwanamuziki Fally Ipupa umetoka miaka 4 iliyopita,mimi nilipousikia mwaka huu na ulipovuma sana nikadhani ni wimbo mpya kumbe ushakula chumvi za kutosha.

Ni kitu gani kimefanya huu wimbo mwaka huu umekuwa na umaarufu mkubwa kiasi kwamba watu ikiwemo mimi kudhani ni mpya?
 
Ni trends tu za hapa na pale
Kuna nyimbo kama hujawahi kuzisikia kabisa miaka ya nyuma zikitrend miaka hii unadhani ni mpya

Mfano nyimbo ya Maria Carey-touch my body ina miaka zaidi ya 10 lakini ni moja ya nyimbo inayotrend huko tiktok kwa sasa
 
Back
Top Bottom