ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Nimekuwa nikisikia sikia Huku na huko kwamba kila mwanadamu ana madhaifu yake aidha ya kimwili,au kiakili au kitabia.kwangu Mimi Ni tofauti Sana kwani nimejichunguza kwa muda mrefu nimejijua Sina mapungufu yoyote,sifanyi makosa kwa uzembe,nafuata kanuni zote za afya Bora mfano nazingatia ulaji mzuri na wa kiasi ,Nina imani thabiti,natambua uhitaji wangu wa kiroho,najua kuzungumza vizuri,Sina mazoea mabaya,napenda Sana watu na ndo maana Nina furaha sana .sina kasoro hata moja.mnaosema nobody is perfect mlikosea mlidhani sote tuko sawa Kuna wengine hatujui roho mbaya Ni kitu gani,mwenzenu kila nalolifanya Ni Bora.Mimi huyo nawatakia jumamos njema.ndo nishamaliza