Mimi ni CCM lakini nakiri CHADEMA walitumia Nguvu ya ziada kumnadi Mchungaji Msigwa Ubunge 2010 na 2015 Katikati ya Uzawa!

Mimi ni CCM lakini nakiri CHADEMA walitumia Nguvu ya ziada kumnadi Mchungaji Msigwa Ubunge 2010 na 2015 Katikati ya Uzawa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mchungaji Msigwa asisahau namna CHADEMA walivyompambania dhidi ya Monica 2010

Mchungaji Msigwa asisahau jinsi Baadhi ya wazawa wa CCM wale Team Lowassa walivyomkataa Mwakalebela na kusema afadhali wampe Yeye kwa Heshima tu ya Chadema kumpokea Lowassa

Mchungaji Msigwa nadhani umenielewa sana

Aliyekufadhili kwa dhiki ndiye Rafiki japo kwa sasa ni mkono mtupu, kumbuka Dr Kitine alitoswa 1995 kwa sababu ya Siasa za uzawa.

Soma Pia: Mchungaji Msigwa hawezi kushindana na Mbowe kwa sababu kimfumo Mbowe ni daraja tofauti na yeye


Mlale Unono 😃😃
 
Mchungaji Msigwa asisahau namna Chadema walivyompambania dhidi ya Monica 2010

Mchungaji Msigwa asisahau jinsi Baadhi ya wazawa wa CCM wale Team Lowassa walivyomkataa Mwakalebela na kusema afadhali wampe Yeye kwa Heshima tu ya Chadema kumpokea Lowassa

Mchungaji Msigwa nadhani umenielewa sana

Aliyekufadhili kwa dhiki ndiye Rafiki japo kwa sasa ni mkono mtupu, kumbuka Dr Kitine alitoswa 1995 kwa sababu ya Siasa za uzawa

Mlale Unono 😃😃
V
20240906_190156.jpg
 
Back
Top Bottom