Iddizahoro
Member
- Aug 27, 2022
- 6
- 18
Waungwana habari za majukumu.
Naitwa xx natokea maeneo ya Mikwambe, Kibada, Kigamboni mkoa wa Da es Salaam.
Naleta kwenu maombi kwa yeyote mwenye gari ndogo aina ya IST, SIENTA, n.k naitaji kwa ajili ya kufanyia kazi hapa mjini.
Hesabu nalipa laki mbili kwa wiki matengenezo madogo madogo kwangu nimategemeo yangu atakuja mtu seriuos ili tuweze kufanya kazi.
0766628723
Naitwa xx natokea maeneo ya Mikwambe, Kibada, Kigamboni mkoa wa Da es Salaam.
Naleta kwenu maombi kwa yeyote mwenye gari ndogo aina ya IST, SIENTA, n.k naitaji kwa ajili ya kufanyia kazi hapa mjini.
Hesabu nalipa laki mbili kwa wiki matengenezo madogo madogo kwangu nimategemeo yangu atakuja mtu seriuos ili tuweze kufanya kazi.
0766628723