B Blue Heart New Member Joined Feb 1, 2017 Posts 2 Reaction score 0 Mar 2, 2017 #1 Habarini ndugu zangu,mimi najishughulisha na ufundi cm je nitatakiwa nami kwenda kukata lesen ya biashara kutokana na kazi hiyo ya ufundi au la?
Habarini ndugu zangu,mimi najishughulisha na ufundi cm je nitatakiwa nami kwenda kukata lesen ya biashara kutokana na kazi hiyo ya ufundi au la?
Mkaruka JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 19,629 Reaction score 34,199 Mar 4, 2017 #2 Yes kibali kutoka TCRA, Maana ni kinyume cha sheria kuflash simu hivyo ni vizuri ukatambulika kwao