Mimi ni fundi simu, Je natakiwa kuwa na leseni?

Blue Heart

New Member
Joined
Feb 1, 2017
Posts
2
Reaction score
0
Habarini ndugu zangu,mimi najishughulisha na ufundi cm je nitatakiwa nami kwenda kukata lesen ya biashara kutokana na kazi hiyo ya ufundi au la?
 
Yes kibali kutoka TCRA, Maana ni kinyume cha sheria kuflash simu hivyo ni vizuri ukatambulika kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…