Babatunde_seneior
Member
- Jun 21, 2021
- 29
- 23
Hii huwa tunaita "kufa kufaana"Hebu kwanza niambie, nina Starlet yangu moja inakosa nguvu kwenye mlima,nikikagua fuel pump kwa kutoa pipe ya return na nikawasha gari nagundua kua pump ni nzima, so inaweza kua ni nini maana hua nafunga hata plug mpya lakini bado tatizo ni hilo hilo, nini nifanye kingine? kwa uzoefu wako wa ufundi
Sawapita pita kwenye jukwaa la magari
Hebu kwanza niambie, nina Starlet yangu moja inakosa nguvu kwenye mlima,nikikagua fuel pump kwa kutoa pipe ya return na nikawasha gari nagundua kua pump ni nzima, so inaweza kua ni nini maana hua nafunga hata plug mpya lakini bado tatizo ni hilo hilo, nini nifanye kingine? kwa uzoefu wako
Gari kukosa nguvu inasababishwa na vitu hivi:Hebu kwanza niambie, nina Starlet yangu moja inakosa nguvu kwenye mlima,nikikagua fuel pump kwa kutoa pipe ya return na nikawasha gari nagundua kua pump ni nzima, so inaweza kua ni nini maana hua nafunga hata plug mpya lakini bado tatizo ni hilo hilo, nini nifanye kingine? kwa uzoefu wako wa ufundi
Ndiyo ungesema nifunge plug za aina gani? By the way ni Denso yenye kichwa kimojaGari kukosa nguvu inasababishwa na vitu hivi:
Fuel pump, huwenda ikawa inaleta mafuta ila sio kwa presha. Kingine kuna filter inakua kwenye fuel pump nalo liangalie maana kukiwa na uchafu ni shida hiyo cheki na fuel filter.
IGNITION COIL Angalia kama zote zinachoma kwa usahihi. Na plug unafunga za aina gani?
Kwanza una uhakika shida ni plugNdiyo ungesema nifunge plug za aina gani? By the way ni Denso yenye kichwa kimoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa, we si umesema wewe ni fundi chief? Sasa mbona unaniuliza tena mimi?Kwanza una uhakika shida ni plug
Fundi inatakiwa akague gari kwanza ili kupata ufumbuzi wa tatizoJamaa, we si umesema wewe ni fundi chief? Sasa mbona unaniuliza tena mimi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni fundi ndioJamaa, we si umesema wewe ni fundi chief? Sasa mbona unaniuliza tena mimi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahio unataka Fundi ageuke kua mpiga ramli ili ajue ugonjwa wa Gari yako huko lilipo?Jamaa, we si umesema wewe ni fundi chief? Sasa mbona unaniuliza tena mimi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sometimes watu wenye kihitaji mtaalamu huwa anachokoza kama hivyo ili akusome kwahiyo hapo unaawaacha mtu akitoa madini ambayo sahihi wanamalizana ebu tu niambie kama siyo mwelewa wa fani huwezi uliza swali kama hilo. Huko mi ndo nyumbani kwenye hayo mafani
Upande wa engine nipo fresh ila transmission na umeme sijabobeaNakubali brother vipi ukiachana na shughuli nzima za tire kwa upande wa engine, transmission na umeme vipi?
Kabla huja-comment kile mtu kaongea hapa angalia mtililiko wa kile walikua wakisema kuanzia juu ili ujue ulipaswa kuropoka au ukae kimya, wewe ni LGBTQ nini?Kwahio unataka Fundi ageuke kua mpiga ramli ili ajue ugonjwa wa Gari yako huko lilipo?
KUNA KAZI YA KUFUNDISHA WANAFUNZI WA UFUNDI MAGARI LEVEL 1-3Habari zenu wakuu,
Mimi ni fundi wa magari nina uzoefu wa takribani miaka nane sasa natafuta sehemu ya kufanyia kazi nipo dar es Salaam. Au kama kuna mtu atakua tayari kufungua ofisi kwaajili ya tire service na baadhi ya spare za magari nipo hapa.