Mimi ni humuhumu.

Mimi ni humuhumu.

CHAMVIGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
7,687
Reaction score
2,240
Habari za masiku wapendwa nimerudi tena kivingine.
Nipokeeni.
 
Ban mara kibao mkuu tatizo kuwakemea wale wanaojiita magwanda kumbe wakali wa kutengeneza mipango ya kuwamaliza watanzania
ila mungu kesha anza waumbua.
Damu ya waliowatanguliza itawatafuna mpaka chumbani kwao
mungu ibariki Tanzania rest in piece CHACHA WANGWE.
 
Gongo za jana usiku huwa zinakuwa na Athari kwa ubongo nyakati za asubuhi...
 
gongo za jana usiku huwa zinakuwa na athari kwa ubongo nyakati za asubuhi...

bora mnywa gongo likiisha kichwani anaendelea na kazi zake kuliko mtu anayepanga njama za kuwamaliza binadamu wenzake, kuliko yule anayejiita padri na mkombozi wa watanzania huku anaiba wake za watu,anatumia ruzuku za chama kwa shida zake, ni mwanachama wa chama tawala at the sametime upinzani.n.k
mlevi kuliko dikteta wa kile chama cha magwanda anayepanga na kusponser mipango yote haramu dhidi ya binadamu wenzake hasa wanaonekana wana mawazo tofauti na yake.
 
bora mnywa gongo likiisha kichwani anaendelea na kazi zake kuliko mtu anayepanga njama za kuwamaliza binadamu wenzake, kuliko yule anayejiita padri na mkombozi wa watanzania huku anaiba wake za watu,anatumia ruzuku za chama kwa shida zake, ni mwanachama wa chama tawala at the sametime upinzani.n.k
mlevi kuliko dikteta wa kile chama cha magwanda anayepanga na kusponser mipango yote haramu dhidi ya binadamu wenzake hasa wanaonekana wana mawazo tofauti na yake.

sawasawa Nabikowa wa tanzania, umesomeka.
 
Back
Top Bottom