Mimi ni kijana naitaji mwanamke mnene wa kuoa

kigogo1ivi

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
539
Reaction score
340
mimi ni mwanaume. Umli: 29
Awe na miaka 20-27. Sichagui rangi, kabila wala dini. Nahaidi ndoa kama akipatikana. Namba yangu: 0768850968.
 
ki saikolojia ni kwamba wanaume waliokulia kwenye dhiki. na hasa ile ya ukosefu wa lishe wakiwa wadogo hutamani wanawake wanene pale wanapokuwa wamefikia umri wa kuoa.
wale waliokuwa wanakula vizuri na kusaza walipokuwa wadogo, baadaye hupenda kuoa vibinti vyembamba.
 

No scientific proval
 
Subiri wanakuja kukusaidia kumpata huyo mnene,ushauri tafuta mwembamba umtunze anenepe
 

tokea na zaliwa sijashi kwa tabu mpaka sasa nafanya kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…