Mimi ni kijana umri miaka 24, natafuta mchumba mtu mzima

Mimi ni kijana umri miaka 24, natafuta mchumba mtu mzima

Qopy

Senior Member
Joined
Jul 2, 2024
Posts
110
Reaction score
290
Ni kijana umri miaka 24 natafuta mchumba mwenye miaka kunizidi mm sihitaji watoto wa 2000 I need new experience if your interested kindly PM.
 
Ni kijana umri miaka 24 natafuta mchumba mwenye miaka kunizidi mm sihitaji watoto wa 2000 I need new experience if your interested kindly PM.
Fanyeni kazi. Acheni kutaka kupakatwa.
 
Ni kijana umri miaka 24 natafuta mchumba mwenye miaka kunizidi mm sihitaji watoto wa 2000 I need new experience if your interested kindly PM.
KItoto cha 2000 hakitaki watoto wenzie bali kinahitaji dada zake au mama zake. Hawa ndo wanahamasishwa kugombea nyadhifa mbalimbali serikalini.
 
Hayo mambo ya mishangazi ni ngekewa ndgu yangu, mishangazi ina type inazohitaji, kama sio type yap utaishia kutoa matangazo tu humu.

Watoa shuhuda za mishangazi hamna hata mmoja aliempata mitandaoni kama wewe.
Zaidi zaidi utaambulia singo maza above 30
 
Shule mnafungua lini?. Wenzako wanaanza wiki ya pili sasa wewe uko humu unatafuta chumba tena XxXL. Nonsense
Mm nimeshamaliza hio shule usinifananishe mm na watoto wako au ndugu zako ukaona wote bado tupo shule alf kuhusu kutafuta mchumba ni maamuzi yangu
 
Back
Top Bottom