Mimi ni kijana wa miaka 23, nina mtaji wa 120k naombeni mnishauri biashara ya kufanya

Mimi ni kijana wa miaka 23, nina mtaji wa 120k naombeni mnishauri biashara ya kufanya

Nunua urembo wa wanawake kama cheni, hereni, vibanio, bangili, maua. Tega kwenye foleni ya magari kama upo Dar, pia unaweza kuuza bites mfano chocolate, biscuits, crips, tissue za kujifutia, bublish n.k. muhimu uwe na utayari na nia ya kubadili maisha yako bila kuangalia macho ya watu. (Hakuna atakae badili maisha yako ila ni wewe)
 
Ongeza ifike 150k kachukue mitumba nusu belo lina nguo 100, kila nguo itakuwa 1500 grade one nguo za kike ambazo utaziuza 7000 hadi 5000.ukiuza vizuri haukosi faida tena kubwa tu
 
Watakuja wazee wa kubeti,wakuambie ,muekee yote man city Leo anashinda,uamke na kitita
 
Wapendwa samahanini kwa usumbufu, mimi ni kijana wa miaka23 nina mtaji wa 120k naombeni mnishauri biashara ya kufanya, nipo mkoa wa Pwani Kibaha Loliondo.
Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022, Kibaha kuna watu 265,360/- hii maana yake kuna midomo zaidi ya laki mbili na sitini na tano ya kulisha na yenye njaa at any given time. Tafuta sehemu utengeneze simple stand ya kukaanga chips na mishikaki ya kuku na ng'ombe.

Hakika utauza hautakosa watu walau 50 wa kupita bandani kwako kwa siku
 
Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022, Kibaha kuna watu 265,360/- hii maana yake kuna midomo zaido ya laki mbili na sitini na tano ya kulisha na yenye njaa ata any given time. Tafuta sehemu utengeneze simple stand ya kukaanga chips na mishikaki ya kuku na ng'ombe.

Hakika utaiza hautakoss watu walau 50 wa kupita bandani kwako kwa siku

Asant san
 
Back
Top Bottom