claudematemu
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 279
- 437
Nikionaga ID kama yako PM sijibu....nasoma nakuacha hapo hapo kwa sababu asilimia nyingi zinakuwaga fekero
Ndio fyekero
Hili ni fyekero
Fyekero ndio watu wa aina gan???Nikionaga ID kama yako PM sijibu....nasoma nakuacha hapo hapo kwa sababu asilimia nyingi zinakuwaga fekero
Backup IDFyekero ndio watu wa aina gan???
We ndio unajidanga...eti umejiunga 2014 mpaka leo 2020 bado ni member.
Ana id nyingine huyu.
Aiseeeee mna Misemo balaa .Backup ID
UsiyejulikanaMko poa
Mimi nipo humu tokea January 13 2014.mpaka leo ila sina zaidi ya post 7 mimi ni nani?View attachment 1414811
Sent using Jamii Forums mobile app