Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
mtoa mada kasema unafua boxer za domo! Hebu kanusha hapo juu binamu yangu!
Jamaa anastahili pongezi kwa jinsi alivyobuni namna ya kuzitangaza fursa za nchi yetu kwa watu. Sijawahi kuona kitu kama hiki kinachoendeshwa sasa na Clouds FM. Yaani watu wamehamasika na kuelewa kwa dhati kabisa kuwa hii nchi ina nafasi nyingi sana ambazo mtu anaweza kuzitumia na kujiendeleza kimaisha. Tungekuwa na vijana kama 10 hivi wenye upeo kama wa Ruge tungekuwa mbali sana.
Hivi wewe ni mzima kichwani kweli!!
Huyo nimeamua kumchunia tu nikisema niongee ntapewa BAN la forever
anachanganya mambo kuna
Heaven on earth
heaven on desert
Huyo nimeamua kumchunia tu nikisema niongee ntapewa BAN la forever
anachanganya mambo kuna
Heaven on earth
heaven on desert
achana na hilo gamba,ucpoteze tm kujibzana nalo kchwan kuna makamasi mixer usaa!akil zake ni copy na nepi nauye
huwa mnakuja kupima upepo???
Hold on .. Hapo hapo kwanza... Kwa hiyo inamaana heaven on desert anafua boxer za dimond
Teh teh teh.....mimi mwenyewe nilijua ni wa Diamond,kumbe mwanamke mwenzako.
sio.......na naomba usirudie kunifananisha tena!!!!!!!!
hana lololte huyu radhia kaona ray c kapewa gari nae anajigonga ili apewe! hapewi kituHao kina lulu ndo wanaelimisha kuhusu fursa?
radhia anajigonga kwa ruge apewe gari kama ray c...ngoja zamaradi aje hapaUsijali. Nitajitahidi kuwa mwangalifu. Nimezeeka mama.
Usijali. Nitajitahidi kuwa mwangalifu. Nimezeeka mama.
Nashkuru kuskia hivi huyu Radhia huyu alikuwa anantaka la mdomoni mie.....
Hao kina lulu ndo wanaelimisha kuhusu fursa?