Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgeni kapani au kachafukwa..Mgeni ushaanza kutuambia tupite hivi 😀
Karibu sana
Hakikisha post zako zihusishe 2025 na ushindi mno wa Dkt Samia!Nawasalimu kwa jina LA jamuhuri wa muungano
Me Nimgeni jamvinii naombeni mnipokee mnipe ushirikiano.
Napi napenda kuwa kumbusha, Baadhi ya watu wanao kejeri wenza wanapo leta nyuzi zao wajirekebishe
Kama huna cha kucomment pita hiviiii
Ahsanten.
Mkuu kifaa chako kimepungukiwa baadhi ya herufi?Nafatilia jukwaa muda mref but nlkuwaa cjajisajili
Wewe ni mwenyeji jamuhuri hiiNawasalimu kwa jina LA jamuhuri wa muungano
Me Nimgeni jamvinii naombeni mnipokee mnipe ushirikiano.
Napi napenda kuwa kumbusha, Baadhi ya watu wanao kejeri wenza wanapo leta nyuzi zao wajirekebishe
Kama huna cha kucomment pita hiviiii
Ahsanten.
Umetoka Mumbai Kanjibai, tuma picha.Nawasalimu kwa jina LA jamuhuri wa muungano
Me Nimgeni jamvinii naombeni mnipokee mnipe ushirikiano.
Napi napenda kuwa kumbusha, Baadhi ya watu wanao kejeri wenza wanapo leta nyuzi zao wajirekebishe
Kama huna cha kucomment pita hiviiii
Ahsanten.
Anatuchora tuWewe ni mwenyeji jamuhuri hii