KABIDO Member Joined Oct 26, 2015 Posts 74 Reaction score 117 May 19, 2017 #1 Habari kwa wanajukwaa wa LOVE CONNECT, Nina uhitaji mkubwa sana wa mchumba. Sio mchumba tu, aje kuwa wife so msaada wakuu. Mimi ni kijana wa miaka 22, rangi ya Obama, ni mjasiriamali nimejiajiri. Natafuta girl mwenye miaka 18 mpaka 23, akizidi nitamfikiria. This is a serious inssue.
Habari kwa wanajukwaa wa LOVE CONNECT, Nina uhitaji mkubwa sana wa mchumba. Sio mchumba tu, aje kuwa wife so msaada wakuu. Mimi ni kijana wa miaka 22, rangi ya Obama, ni mjasiriamali nimejiajiri. Natafuta girl mwenye miaka 18 mpaka 23, akizidi nitamfikiria. This is a serious inssue.
Smart boy Shewedy JF-Expert Member Joined Jan 17, 2017 Posts 3,718 Reaction score 3,488 May 19, 2017 #2 Wakina Dada wenye rangi ya Anko Magu wanahitajika huku...
D dope girl Member Joined Apr 29, 2017 Posts 62 Reaction score 65 May 20, 2017 #3 Inssure hapa ndio wabongo tunafail kila la kheri mkuu
fund xaa JF-Expert Member Joined Feb 12, 2017 Posts 253 Reaction score 90 May 20, 2017 #4 dope girl said: Inssure hapa ndio wabongo tunafail kila la kheri mkuu Click to expand... tunafail nini mkuu
dope girl said: Inssure hapa ndio wabongo tunafail kila la kheri mkuu Click to expand... tunafail nini mkuu
D dope girl Member Joined Apr 29, 2017 Posts 62 Reaction score 65 May 20, 2017 #5 fund xaa said: tunafail nini mkuu Click to expand... Hii lugha ilikuja na meli, Ikaondoka na ndege mkuu
fund xaa said: tunafail nini mkuu Click to expand... Hii lugha ilikuja na meli, Ikaondoka na ndege mkuu
Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 35,012 Reaction score 70,201 May 20, 2017 #6 Tatizo kubwa humu wanaotaka wame hua wanataka miaka kuanzia 28 na kuendelea. Nahisi ndiyo maana una nyuzi nyingi za kutaka mwenza na hazijajibiwa. Ningekua wewe ningechagua mmoja kutoka sehemu nilipo.
Tatizo kubwa humu wanaotaka wame hua wanataka miaka kuanzia 28 na kuendelea. Nahisi ndiyo maana una nyuzi nyingi za kutaka mwenza na hazijajibiwa. Ningekua wewe ningechagua mmoja kutoka sehemu nilipo.
Issuna JF-Expert Member Joined Sep 3, 2014 Posts 3,203 Reaction score 7,628 Jul 4, 2017 #7 kama hutojali tunaweza kuwasiliana...0654191006