The Inspire55
Member
- Oct 14, 2020
- 12
- 22
Naitwa Juma Paul kija mhitimu wa taaluma ya ukemia upande wa madini nafanya uchenjuaji wa madini ya dhahabu kwa mfumo wa vat leaching kwa ufanisi na uwezo wa kukabiliana na udongo wenye changamoto za copper, sulphur, zinc, iron na silver nakuto dhahabu yenye purity ya asilimia 90 na kwendelea.
Pia natoa ushauri kwa anayewiwa kuanza biashara hii na wote wenye changamoto juu ya uchenjuaji wa madini ya dhahabu kwa vat leaching, cip, na hata cil naweza toa msaada, napatikana kwa mkoa wa mwanza kwa mawasiliano 0753021057.
Natanguliza Shukrani
Pia natoa ushauri kwa anayewiwa kuanza biashara hii na wote wenye changamoto juu ya uchenjuaji wa madini ya dhahabu kwa vat leaching, cip, na hata cil naweza toa msaada, napatikana kwa mkoa wa mwanza kwa mawasiliano 0753021057.
Natanguliza Shukrani