Mimi ni mpinzani ila viongozi wa upinzani wanakosa sera zenye tija na itakua ngumu kushawishi mabadiliko

Mimi ni mpinzani ila viongozi wa upinzani wanakosa sera zenye tija na itakua ngumu kushawishi mabadiliko

Riskytaker

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2024
Posts
568
Reaction score
2,522
Duniani kote upinzani wana agenda ya ajira kwa vijana na kupunguza ugumu wa maisha kwa wananchi.

Kwa Tanzania mambo ni tofauti upinzani wanasera nyepesi mno utasikia tunataka uchaguzi wa haki na Katiba mpya tu

Instead ya kushawishi watu kwenye angle zinazogusa maisha ya watu moja kwa moja kila siku ni hamna sasa utashinda vipi?

Mtaani kuna vijana wasomi roughly 10m+ ambao hawana ajira na kila mwaka wanaongezeka 1m huwezi kusikia upinzani ukisimama kidete kutetea.

Kuna ajira za afya na elimu zilitangazwa tangu mwezi wa 6 kwa afya na mwezi wa 7 kwa elimu hadi leo vijana hajaripoti kazini ni interview na milolongo ya kijingajinga tu ndani ya Wizara inayohusika upinzani upo kimyaa.

Vijana wamejikatia tamaa wanakimbilia kwenye ulevi na kamari hakuna mpinzani anaetoka hadharani kusemelea.

CCM imeshindwa kuajiri vijana imefanya maisha kuwa magumu Tanzania ilitakiwa upinzani ushike dola ila ndo hivyo wanakosa sera zenye ushawishi.

VIONGOZI WA UPINZANI AMKENI

Pia soma:Namna viongozi wa vyama Vya Upinzani wanavyotumia vyama na majina yao kujipia fedha kwa kuhujumu na uzandiki
 
Sera Yao kubwa ni maandamano 😂😂😂

Ona hapa Mbowe kama anashitaki Nchi Kwa Beberu USA kana kwamba huyo ndio atampigia kura 😂😂😂👇👇


Ndio hasara ya kuwa kibaraka unatumikishwa .

Pia waache tabia ya kupinga maendeleo waoneshe utofauti wao wanafanyaje sio kibwabwaja tuu na Kulalamikia kama wajinga.
 
Duniani kote upinzani wana agenda ya ajira kwa vijana na kupunguza ugumu wa maisha kwa wanachi.

Kwa Tanzania mambo ni tofoauti upinzani wanasera nyepesi mno utasikia tunataka uchaguzi wa haki ,na katiba mpya. tu

Instead ya kushawishi watu kwenye angle zinazogusa maisha ya watu moja kwa moja kila siku ni hamna sasa utashinda vipi?

Mtaani kuna vijana wasomi roughly 10m+ ambao hawana ajira na kila mwaka wanaongezeka 1m huwezi kusikia upinzan ukisimama kidete kutetea.

Kuna ajira za afya na elimu zilitangazwa tangu mwezi wa 6 kwa afya na ( mwezi wa 7 kwa elimu) hadi leo vijana hajaripoti kazin ni interview na milolongo ya kijingajinga tu ndani ya wizara inayohusika upinzani upo kmyaa.

Vijana wamejikatia tamaa wanakimbilia kwenye ulevi na kamari hakun mpinzan anetoka hadharan kusemelea.

CCM imeshindwa kuajiri vijana imefanya maisha kuwa magumu Tanzania ilitakiwa upinzan ushike dola ila ndo hivyo wanakosa sera zenye ushawishi.

VIONGOZI WA UPINZANI AMKENI
PHD
 
Duniani kote upinzani wana agenda ya ajira kwa vijana na kupunguza ugumu wa maisha kwa wanachi.

Kwa Tanzania mambo ni tofoauti upinzani wanasera nyepesi mno utasikia tunataka uchaguzi wa haki ,na katiba mpya. tu

Instead ya kushawishi watu kwenye angle zinazogusa maisha ya watu moja kwa moja kila siku ni hamna sasa utashinda vipi?

Mtaani kuna vijana wasomi roughly 10m+ ambao hawana ajira na kila mwaka wanaongezeka 1m huwezi kusikia upinzan ukisimama kidete kutetea.

Kuna ajira za afya na elimu zilitangazwa tangu mwezi wa 6 kwa afya na ( mwezi wa 7 kwa elimu) hadi leo vijana hajaripoti kazin ni interview na milolongo ya kijingajinga tu ndani ya wizara inayohusika upinzani upo kmyaa.

Vijana wamejikatia tamaa wanakimbilia kwenye ulevi na kamari hakun mpinzan anetoka hadharan kusemelea.

CCM imeshindwa kuajiri vijana imefanya maisha kuwa magumu Tanzania ilitakiwa upinzan ushike dola ila ndo hivyo wanakosa sera zenye ushawishi.

VIONGOZI WA UPINZANI AMKENI

Pia soma:Namna viongozi wa vyama Vya Upinzani wanavyotumia vyama na majina yao kujipia fedha kwa kuhujumu na uzandiki
Hawajitambui, afadhari ACT
 
Back
Top Bottom