Mimi ni nani? Siri ya 2085

Uzi wake ni KWA great thinkers tu,ametumbia mbinu nyingi za fasihi mchanganyiko kufikisha ujumbe ulio katika "coded language" sasa kazi ya kudecode kaiacha wazi.Kazi kwenye philosophers
 
Rai Ni yeye.
 
Panya Mara nyau Mara Chui Mara Simba Niko naye tu Huyo Farasi wangu Muashuru wa Isaya7 na leo Isaya8.Unachezea mapenzi Wewe!!!!!!!! Kikubwa Unijibu Mimi Ni Nani? Na Siri hiyo ya 2085 tumuachie Mungu.
 
Aliyemaliza kusoma yote na akaelewa anistue
 


Kama kuna kitu unavuta basi huo moshi umefika hapa nilipo maana Kama nakuelewa hivi?!

Majuma 70? Ni miezi mingapi hii toka sasa?
Kufa 2024 kufufuka 2025?
Hijabu sio mwisho wa nini?
Something to do with Wasukuma?!
Kwamba mbegu iliyopandwa imemea? Mapema hivi?

Maandishi yako yanajua kusokota ubongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…