Wewe umeielewa?Yaan we unadhani usipoelewa ngoma ndo haijaeleweka kwa wote
Watu tuko bize na bandarini hakuna cha kututoa kwenye reli.Ngoma ya Msanii Roma Inayoitwa Mimi ni Nani haijafanya vizuri kama ilivyotarajiwa au ilivyotanguliwa na ile ya Nipeni Maua yangu
Je shida ni nini? Amekosa content au style ya ngoma yake hii ya mimi ni nani haijawavutia wadau au kashindwa kwenda na soko la sasa linataka nini?
YouTube ipo number ngapi trending ?
Kelele zenu hazitazuia chochote kuhusu DP world. Mwarabu wa Dubai hoyeeeee!Watu tuko bize na bandarini hakuna cha kututoa kwenye reli.
Wasudani wamebuma
Mwanafunzi na baba jose wamebuma
Watu tupo serious na bandarini mnatuletea uzwazwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie keyboard warriors acheni vichekesho basi, asa nyie mna nini cha kuzuia mwekezaji?Roma atuache kwanza tumalizane na hili suala la bandari za Watanganyika kuuzwa, halafu tutamrudia baadaye.