Staili yake ya kuimba inachosha yaani kama anaongea tu.Ngoma ya Msanii Roma Inayoitwa Mimi ni Nani haijafanya vizuri kama ilivyotarajiwa au ilivyotanguliwa na ile ya Nipeni Maua yangu
Je shida ni nini? Amekosa content au style ya ngoma yake hii ya mimi ni nani haijawavutia wadau au kashindwa kwenda na soko la sasa linataka nini?
Watu wanaogopa kufa ndio maanaNgoma ya Msanii Roma Inayoitwa Mimi ni Nani haijafanya vizuri kama ilivyotarajiwa au ilivyotanguliwa na ile ya Nipeni Maua yangu
Je shida ni nini? Amekosa content au style ya ngoma yake hii ya mimi ni nani haijawavutia wadau au kashindwa kwenda na soko la sasa linataka nini?
Roma ndio nani??
Tena wakuu?
kwani ina maana gani?Hii Ngoma ikipigwa mwaka 2040 hakuna atakayeielewa [emoji16]
Acha wivu.....Roma ndio nani??
Tena wakuu?