Mimi ni shabiki wa Niffah na nampenda ila nahuzunishwa na talaka aliyopewa na jasusi bobevu

Mimi ni shabiki wa Niffah na nampenda ila nahuzunishwa na talaka aliyopewa na jasusi bobevu

Kumuonea huruma demu ameachwa na basha wake,au amefiwa na basha wake, Ina maana gani?
Yesu alikuwa anasema,"Msiwaache wake zenu kwa visingizio vidogo", kwa sababu mwanamke ukimuacha siku zile( hata siku hizi) maisha yake yanakuwa ya dhiki.
Lakini huyo Niffah( ambaye sijui ni nani) haionekani kama ana njaa.
 
Mods mkiufuta huu uzi nitaamini mmechangia kuvunja uhusiano wa jasusi na niffah.
Si wewe kuna siku ulipigwa bana ukahamia sijui Quora sijui reddit. Ban ilivyoisha ukarudi unavyojitapata huko Quora/Reddit umekuwa member unashusha madini na wahindi unampango wakuhamia mazima na kutorudi JF.

Halafu dogo acha mambo ya kindezi. Tekeleza abadi yako ya kuniua kwa kuwaibia tv chogo black and white 1988.
 
Eti shabiki wake, wabongo unafiki utawaua .. Kuliko kuzunguka mara upatanisho na blahblah kibao bora umwambie unampenda moja kwa zote.
 
Back
Top Bottom