Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaleta vurugu naona. Poti anakuzoom
🤣🤣🤣🙌Aiikoooo! Wewe kama unampenda kwanini usiheshimu hisia na maamuzi yake alivyo move on.. first degree of unafkinism. Brah
Si wewe kuna siku ulipigwa bana ukahamia sijui Quora sijui reddit. Ban ilivyoisha ukarudi unavyojitapata huko Quora/Reddit umekuwa member unashusha madini na wahindi unampango wakuhamia mazima na kutorudi JF.Mods mkiufuta huu uzi nitaamini mmechangia kuvunja uhusiano wa jasusi na niffah.
Hapo kilichokuchekesha ni nini na wewee? Khaaah!🤣🤣🤣🙌
Soma utaelewa mkuu🥴Hapo kilichokuchekesha ni nini na wewee? Khaaah!
I love youSoma utaelewa mkuu🥴
We jamaa bado haujapewa ban tu.I love you