Mimi ni shabiki wa Simba ila hadi sasa yanga wana ushindi wa goli 5-1 nje ya uwanja

Mimi ni shabiki wa Simba ila hadi sasa yanga wana ushindi wa goli 5-1 nje ya uwanja

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Hakuna mtu aliyetarajia Simba kujitafuta kiasi kile katika mechi dhidi ya Coastal Union wagosi wa kaya.

Kwa tunaoona kwa jicho la tatu,tunaona uwekezaji wa yanga nje ya uwanja ni mkubwa mno kiasi kwamba wanauwezo wa kuamua Simba adroo au ashindwe mechi ipi.Hata ukiona matukio ya utata ya waamuzi, sio kwamba wanatupenda,bali ni mbinu chafu tu zinazoratibiwa ki- injinia nje ya uwanja ili kuichafua timu.

Mtakumbuka baada ya yanga kuanza kucheza yalianza kuonekana makosa ya kibinadamu kwa waamuzi.Zilipopigwa kelele wao kwa kuwa wamejipanga,wakaamua kuwatuma watu wao wafanye makosa ya maksudi ya kuichafua Simba.Na kibaya zaidi wanakwenda kwa timu pinzani na kuwaambia leo mtaonewa na mwamuzi.Sio ajabu kuona walimu wa timu kama Azam na Dodoma wakiongea kama mashabiki wakiwatuhumu wazi wazi waamuzi ambao wana maelekezo kutoka jangwani.

Kitu cha muhimu kwa sasa nadhani viongozi wa Simba watumie akili zao vizuri uongozi siyo kitu kidogo.Nje ya uwanja tumeshapigwa 5-1 hadi sasa.Sio kitu kidogo hawa jamaa kutoa kafara ya damu za ng'ombe karibu kila mechi huku pembeni wakiwa na kikosi kazi cha kimafia kama cha ccm
 
Baada ya droo ya Jana tu,mmeanza kuweweseka,siku chache zilizopita mlisema yanga ni wazee na mtatufunga.Tukusaidie tu droo ni sehemu ya mchezo hata yanga anaweza kudroo au kufunga na yeyote.
 
Hakuna mtu aliyetarajia Simba kujitafuta kiasi kile katika mechi dhidi ya Coastal Union wagosi wa kaya.
Kwa tunaoona kwa jicho la tatu,tunaona uwekezaji wa yanga nje ya uwanja...
kimawazo bakini hapo hapo ili yanga atimize malengo yake kuchukua ubingwa mfululizo mpk 2030
 
Hakuna mtu aliyetarajia Simba kujitafuta kiasi kile katika mechi dhidi ya Coastal Union wagosi wa kaya.

Kwa tunaoona kwa jicho la tatu,tunaona uwekezaji wa yanga nje ya uwanja ni mkubwa mno kiasi kwamba wanauwezo wa kuamua Simba adroo au ashindwe mechi ipi.Hata ukiona matukio ya utata ya waamuzi, sio kwamba wanatupenda,bali ni mbinu chafu tu zinazoratibiwa ki- injinia nje ya uwanja ili kuichafua timu.

Mtakumbuka baada ya yanga kuanza kucheza yalianza kuonekana makosa ya kibinadamu kwa waamuzi.Zilipopigwa kelele wao kwa kuwa wamejipanga,wakaamua kuwatuma watu wao wafanye makosa ya maksudi ya kuichafua Simba.Na kibaya zaidi wanakwenda kwa timu pinzani na kuwaambia leo mtaonewa na mwamuzi.Sio ajabu kuona walimu wa timu kama Azam na Dodoma wakiongea kama mashabiki wakiwatuhumu wazi wazi waamuzi ambao wana maelekezo kutoka jangwani.

Kitu cha muhimu kwa sasa nadhani viongozi wa Simba watumie akili zao vizuri uongozi siyo kitu kidogo.Nje ya uwanja tumeshapigwa 5-1 hadi sasa.Sio kitu kidogo hawa jamaa kutoa kafara ya damu za ng'ombe karibu kila mechi huku pembeni wakiwa na kikosi kazi cha kimafia kama cha ccm
Kosa kubwa ni kuifikiria Yanga badala ya kuoambana na matatizo yenu.
 
sorry,mwenye orodha ya wachezaj 12 wa kigeni wa simba anitajie tafadhari
 
Back
Top Bottom