nakuona shabiki wa msimbazi jinsi unavyofurahia matokeo mabovu ya timu mbovuYupi mkuu [emoji23]
Anaipendazi sanazi mpakaz rohoz inaachaz mwiliziHuyu mkaka jaman hakua amekula au ndo mwili wake? Sitaki kuamini Simba inakondesha kiasi hiki, woiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
vipi unaonaje kama Simba ikishuka daraja ikawa inashiriki tu championship, ikawacha hao wengine kwenye ligi ili wanayanga wakapata amani ya moyo na furaha kwa kushinda kila mechi daima na milele?Yaaah mkuu...haya ndo majibu ya usajili wetu
Kam bong'olee uone kama ana njaa am vip?Huyu mkaka jaman hakua amekula au ndo mwili wake? Sitaki kuamini Simba inakondesha kiasi hiki, woiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yapo mengi mnooo...kwa makombe mengi simba inaongoza...Tatizo huoni makombe yakija msimbazi