Mimi ni videographer, photographer na graphics designer

Mimi ni videographer, photographer na graphics designer

Big dady 11

Senior Member
Joined
May 21, 2023
Posts
109
Reaction score
128
Habari zenu wakuu..

Embu tusaidiane kupeana connection.

Mm nipo dar mbagala.

Na ujuzi wa videographer, photographer graphics designer na content creater.

Na uzoefu wa Zaid ya miaka 5.

Km Kuna taasisi kampuni au ofisi ya video production inahitaji mtu wa ujuzi huo nipo hapa.

Program nnazotumia ni
Adobe premiere
Adobe Photoshop
Adobe illustrator
Adobe audition
Adobe Lightroom
Power point

Sina elimu ya vyeti Nina ujuzi tu 😭
Skumaliza chuo hivyo Sina cheti 😔..
Kwa mawasiliano zaid 0692477610.
Nikutumie Kaz nilizo fanya.

Pia na weza kuendesha social media accounts. Na skuiz kampuni zinajitangaza sana kupitia social media accounts sasa kwa maana hiyo social media accounts ni sehem ya marketing hivyo inatakiwa mpate mtu wa content creating. Pia apge picha nzur na video Kali.

Na huyo mtu sasa ndo Mimi.

UJUZI WA ZIADA NILIO NAO NI FUNDI UMEME
 
Habari zenu wakuu..

Embu tusaidiane kupeana connection.

Mm nipo dar mbagala.

Na ujuzi wa videographer, photographer graphics designer na content creater.

Na uzoefu wa Zaid ya miaka 5.

Km Kuna taasisi kampuni au ofisi ya video production inahitaji mtu wa ujuzi huo nipo hapa.

Program nnazotumia ni
Adobe premiere
Adobe Photoshop
Adobe illustrator
Adobe audition
Adobe Lightroom
Power point

Sina elimu ya vyeti Nina ujuzi tu 😭
Skumaliza chuo hivyo Sina cheti 😔..
Kwa mawasiliano zaid 0692477610.
Nikutumie Kaz nilizo fanya.

Pia na weza kuendesha social media accounts. Na skuiz kampuni zinajitangaza sana kupitia social media accounts sasa kwa maana hiyo social media accounts ni sehem ya marketing hivyo inatakiwa mpate mtu wa content creating. Pia apge picha nzur na video Kali.

Na huyo mtu sasa ndo Mimi.

UJUZI WA ZIADA NILIO NAO NI FUNDI UMEME
 

Attachments

  • IMG-20241120-WA0021.jpg
    IMG-20241120-WA0021.jpg
    113.1 KB · Views: 12
Back
Top Bottom