Mimi ni Wasiri Katibu Tarafa wa Mkulukulu

Mimi ni Wasiri Katibu Tarafa wa Mkulukulu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Zamani nilikuwa katibu kata sasa nimepindishwa cheo
Sifa zangu (nyingine za kijinga)
. Kupenda mipasho ya mitandaoni
. Hulka ya kujiona najua kila kitu
. Hasira na ghadhabu bila sababu za msingi
. Vinyongo vikali mno
. visasi na malipizi kwa uzito unaostahili
. Kwangu mimi adui simpondi Miguel namponda kichwa
. Mimi ni mchoyo na mbinafsi sana
. Mimi ndio nikisema hakuna wa kupinga hata yeye!!!
. Tivu ni best yangu longtime kitambo… hatukutana barabarani

Nina shekeli
Nina connection
Nina pawa
Nina say
Nina madame
Nina vyote huwezi kuniambia kitu wewe boya !!!!
Hivi unanijua mimi ni nani?

Mpige chuma huyo.., paaa!! Paaaa!!paaa!! Mayele kakosa goli.,, kapaisha!

Tanganyika!!!
 
Hii code inakuja inakataaa.
Kama vile DAB ameguswa hapa
IMG_0061.jpeg
 
Hivi huyu jamaa karikoroga wapi?? Huko Twitter (X) akina mama wa Jesus [emoji1173] wamemweka kati kila siku ni yeye
 
Bado sijaelewa ngoja niwasome vizuri mnachomaanisha hapo nimeelewa Mayele tu jinsi alivyopaisha goli mpaka PM akashyuka Mayele anakosagje goli pale yeye na kipa
 
Zamani nilikuwa katibu kata sasa nimepindishwa cheo
Sifa zangu (nyingine za kijinga)
. Kupenda mipasho ya mitandaoni
. Hulka ya kujiona najua kila kitu
. Hasira na ghadhabu bila sababu za msingi
. Vinyongo vikali mno
. visasi na malipizi kwa uzito unaostahili
. Kwangu mimi adui simpondi Miguel namponda kichwa
. Mimi ni mchoyo na mbinafsi sana
. Mimi ndio nikisema hakuna wa kupinga hata yeye!!!
. Tivu ni best yangu longtime kitambo… hatukutana barabarani

Nina shekeli
Nina connection
Nina pawa
Nina say
Nina madame
Nina vyote huwezi kuniambia kitu wewe boya !!!!
Hivi unanijua mimi ni nani? Mpige chuma huyo.., paaa!! Paaaa!!paaa!! Mayele kakosa goli.,, kapaisha!

Tanganyika!!!
Haki ya nani,code ngumu balaa....
 
Hii code sio ngumu labda kama hauna TIN !!

Wasiri ni jina la mtu

Katibu ni personal secretary

Mkukulu ni Mkuu anayeto maagizo kutoka juu.

Labda kama wewe ni mgeni wa Twitter na space
Hii code sio ngumu labda kama hauna TIN !!😀
 
Back
Top Bottom