Mimi nifundi vioo Naomba kunjua jinsi yakupata wateja

Mimi nifundi vioo Naomba kunjua jinsi yakupata wateja

general2023

New Member
Joined
Oct 30, 2023
Posts
2
Reaction score
2
Fundi
IMG20231006111658.jpg
 
1. Tumia lugha ya staha na ya heshima siku zote

2. Pita kwenye saiti wanapojenga nyumba, omba tenda ya kuwaandalia madirisha

3. Jiunge kwenye Mitandao ya kibiashara kama marketplace na JamiiForums, jitangaze kwa ustadi wa hali ya juu.

4. Toa zaka, fanya maombi na kuwa mbunifu
 
Back
Top Bottom