Christian msangi
Member
- Jul 24, 2018
- 39
- 61
Eeeh asee chief hali ni teteMkuu umeamua kujipiga na selfie kabisa
Eeeh man sasa kuipata hiyo kazi manMkuu ofisi yako ni vifaa na kazi
Nimeona picha ya kwanza una kazi ya kutosha tu, wewe ulikuwa unatakaje na ofisi unayo hapo,Eeeh man sasa kuipata hiyo kazi man
Mzee hiyo ni kazi ya mtu tu kama wewe kapatania yeye akanipa ndyo nikapata mtaji wa kununua vifaa chief lkn now nipo mtaan kakaNimeona picha ya kwanza una kazi ya kutosha tu, wewe ulikuwa unatakaje na ofisi unayo hapo,
Yes man kaz sasa chiefVifaa ofisi tosha
Sawa sawa basi hakuna neno mkuuMzee hiyo ni kazi ya mtu tu kama wewe kapatania yeye akanipa ndyo nikapata mtaji wa kununua vifaa chief lkn now nipo mtaan kaka
Nahitaji connection ya kaz mkuu hapo ni site ya mtu tu mkuu nimeshamaliza ndyo nikapata mtaji wa vifaaUnataka ofisi ya nini? Huna kwako? Hapo hapo ulipo si ndiyo ofisini yenyewe?
Pamoja chiefSawa sawa basi hakuna neno mkuu
Yes mkuuKama wewe ndio hasa wa kupewa mkopo upate pango kulipia ofisi.
Ukiwa na ofisi kazi zinakuja tu zenyewe mkuu,pambana tu upate ofisi.