Mimi nilimaliza chuo na miaka 33 kipata ajira na miaka 34 nikaoa na miaka 35

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Katika maisha kuna changamoto nyingi Sana Ila kubwa kuliko yote ni pale nilipooa na miaka 35 na ajira yangu ya kwanza niliipata na miaka 34.

Nb nilimaliza chuo 2007 and I became jobless na mwaka 2012 nilisoma diploma ya ualimu pale university of Zanzibar na kumaliza 2014 na 2015 nikapata ajira rasmi.


Kwa sasa nimeoa
Na nina masters nimeipata 2021

Hapa katikati nilikuwa nafanya ujambazi mkubwa Sana hadi pale nilipoona watoto wadogo wanauliwa katika mission nilio-wapangia 😭 RIP.

Nimezaliwa 1981
Nimeishi ulaya Ila mzee wangu alinirudisha kijijini baada ya kujua kuwa navuta bangi .

Nitaelezea ni namna gani nimeishi mediocre life

Majuto
Nilimfundisha Kijana kuvuta bangi Leo amekuwa amedata.




Kwa sasa nimeokoka na namtumikia Mungu

Nb Mimi ni first born na Mimi ndo masikini katika familia yetu

Na nafikiri huu umasikini ni kwakuwa nalipa gharama za karma
 
Mmmh mkuu ujambaxi tenaaa aisee

Ngoja nikimbieee woii
 
Kwahiyo stori yako inahusu kuvuta bange, kupata masters, kuwa mwizi au nini?
Hii inspiration kwa vijana Kama nyie

Ambao mpo negative hamjapitia hustling

Sisi tumefanya mambo mengi machafu
 
Ingekua ni kwenye kiswahili mbili fasihi kuna swali huwa linauliza je tabia hii ya mhusika Huyu inafaa kwa jamii 🤔ningejibu 😂"si mfano wa kuigwa"
 
Mkuu nitafute tuiandike stori yako vizuri tuitetemeshe jf watu waingie huzuni wakupe na hela ya mchango!, sasa we unaandika ati nilikuwa jambazi!, Halafu usikute bado bangi ipo kichwani maana kwa namna ulivyoandika sijui tu..😅
 
Hii inspiration kwa vijana Kama nyie

Ambao mpo negative hamjapitia hustling

Sisi tumefanya mambo mengi machafu
Mi nikikusimulia mambo niliyoyafanya mbona we na hayo machafu yako utajiona huna dhambi hata 1
 
Duh! Mbona story haieleweki wala haina mtiririko mzuri wa content?
 
Andika vizur haujaeleweka hadith haijaunganika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…