Unatunga hadithi za aina gani. Ungeonyesha hata moja kama ya kukutangaza tumia mitandao kujutangaza kwa kuandika au kurekodi hata kwa simu watu wataona
kama uko dar jua hizo ndo tabia za wakazi wote wa dar sio kipaji ila kama upo mkoani fanya uje dar au uitumie vzr sanaa ya uigizaji uwapge pesa wanakijiji hao