Mimi nina nini jamani, hakuna hata mdada alienijibu PM!!

Issakson makanga

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2016
Posts
731
Reaction score
1,158
Wandugu Habari
Jaman mim ni kijana mtanashati na msomi wa masters. Nilishawishika kujiunga jf na kufurahia maisha ya humu kweli ni Mazur na matam sana. Lakin wandugu mim Nina kasoro gan mbona wadada wa humu awataki kujibu text zangu mf miss natafuta nimetumia zaidi ya 20 naomben ushaur wenu, nimestuk usingzin lkn ili jambo limeniuma sana
 
Hahaha!pole sana,tafuta mfupa wa bundi mzee ,usage mpaka upatikane unga,halafu chukua mafuta ya mgando kisha changanya.Jipake mchanganyiko huo kila saa sita na robo usiku kwa siku 2,mademu wataanza kumiminika kama viwavi.
 
Hahaha!pole sana,tafuta mfupa wa bundi mzee ,usage mpaka upatikane unga,halafu chukua mafuta ya mgando kisha changanya.Jipake mchanganyiko huo kila saa sita na robo usiku kwa siku 2,mademu wataanza kumiminika kama viwavi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]loh
 
Kwakua umetoka usingizini basi uko sahihi, kinyume na hapo ningekuomba unipe tofauti ya kusoma na kuelimika.
 
Msomi wa masters ndio kozi gani hii? Mbona hata elimu basic kabisa ya kukupa sifa hata za kuwa mkuu wa mkoa huna? KKK?
 
Ushauri ni hivi..... kama umeshona mifuko ya suruali yako humpati yeyote humu. jipange utenge fungu la kutosha umpe tuone kama hutafanikisha lengo
 
Jina lako la mwisho ni mkosi, badili haraka iwezekanavyo.
 
Uyo ni msagaji
 
Hahaha!pole sana,tafuta mfupa wa bundi mzee ,usage mpaka upatikane unga,halafu chukua mafuta ya mgando kisha changanya.Jipake mchanganyiko huo kila saa sita na robo usiku kwa siku 2,mademu wataanza kumiminika kama viwavi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mmh kwa mwandiko huo! Sijui kuna typing errors kibao na sidhani kama ni kweli hiyo elimu yako
 
Hahaha!pole sana,tafuta mfupa wa bundi mzee ,usage mpaka upatikane unga,halafu chukua mafuta ya mgando kisha changanya.Jipake mchanganyiko huo kila saa sita na robo usiku kwa siku 2,mademu wataanza kumiminika kama viwavi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume wengi wa Jf Swaga!
Maneno mengii Pesa hamna
Mtu anakutumia msg 20 kwa siku upoteze muda kujibu upuuzi wake kwa gharama zako?
nakuja kukutumia 1 sasaiv ila sina pesa
 
cc Miss Natafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…