Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 2,209
- 4,769
Kero nyingi za Wazanzibar kuhusu muungano, huibuliwa na kuchochewa na wanao kaa nje ya Zanzibar yaani wapo Ughaibuni huko, sisi tulioko huku tutawaaminije kama hawakutani na kutumwa na maadui wa muungano wetu na wenye masilahi binafis?
Badala ya kurahisisha tu kwamba muungano uvunjwe au wabara ili wafike Zanzibar ni lazima wawe na paspot za kusafiria, kunahitajika uchunguzi maalumu kubaini hizi kero na kelele nyingi zinazoibuliwa na upande wa Zanzibar kwa uchunguzi maalumu
Kwa masikio yangu, naona kipindi hiki ndio kimeongeza saana kero za watu hasa Wazanzibar kuuchokonoa muungano
Kwa kipindi hiki hasa kutokea Kwenye kubinafisisha Bandari za Bara, kumekuwepo na mipasho mingi na kutupiana mipira kuhusu hilo na sasa tunaendelea kusikia maneno maneno ya kwa nini muungano??
Mambo haya ba hiyo nguvu inayotumika inatoka wapi?
Tukiondoa hizo kelele, ni nani anayenufaika zaidi kupitia muungano huu kati ya Bara na Zanzibar?
Hizi kelele za muungano kuongezeka na kuzizidi sana, zinatoka wapi? ni mhimu kujiuliza zinatoka wapi na kwa faida ya nani
Mimi naamini, Bado hata Wazanzibar wanauhitaji muungano kwa walio wengi ukiondoa hao wanasiasa wenye uchu wa kujinufaisha wao na watoto wao.
PIA SOMA
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?
Badala ya kurahisisha tu kwamba muungano uvunjwe au wabara ili wafike Zanzibar ni lazima wawe na paspot za kusafiria, kunahitajika uchunguzi maalumu kubaini hizi kero na kelele nyingi zinazoibuliwa na upande wa Zanzibar kwa uchunguzi maalumu
Kwa masikio yangu, naona kipindi hiki ndio kimeongeza saana kero za watu hasa Wazanzibar kuuchokonoa muungano
Kwa kipindi hiki hasa kutokea Kwenye kubinafisisha Bandari za Bara, kumekuwepo na mipasho mingi na kutupiana mipira kuhusu hilo na sasa tunaendelea kusikia maneno maneno ya kwa nini muungano??
Mambo haya ba hiyo nguvu inayotumika inatoka wapi?
Tukiondoa hizo kelele, ni nani anayenufaika zaidi kupitia muungano huu kati ya Bara na Zanzibar?
Hizi kelele za muungano kuongezeka na kuzizidi sana, zinatoka wapi? ni mhimu kujiuliza zinatoka wapi na kwa faida ya nani
Mimi naamini, Bado hata Wazanzibar wanauhitaji muungano kwa walio wengi ukiondoa hao wanasiasa wenye uchu wa kujinufaisha wao na watoto wao.
PIA SOMA
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?