Remmy wallah umebadilisha avatar nikabaki najiuliza maswali kuliko majibu! kwanza nitumie number yako ya m-pesa nikutumie madoller! lol!
Nasubiri majibu......sijui atapitishwa nani wallaih daaah!! Mapigo ya moyo yanienda mbioooo mie
nitakutumiaje sasa kwa kunipigia kura? lol, hivi rushwa ni kosa la jinai au ni shukrani tu?Kwanini umejiuliza maswali mwaego?
Umejuaje Kama ATM haiomi mpaka sasa?
Nakupm nami nikale japo mihogo hapo nje.
wake zako wenyewe ndio cc! ashindwe, atajivunja mwenyewe! mbona huyo mtu hana aibu?? eti jamani wake wenzangu Yummy, BADILI TABIA mtakubali ndoa yetu ivunjike kweli?Kuna mmbea anataka kunivunjia ndoa yangu asee...
tiririrka nitakuja kukusuport! ukiona hivyo nua mwezi mchanga upo mbali! lol nashukuru kusika kuwa u mzima wa afya!
nipo kimyaaaaaaaa! nangoja tamko tu! ila sharing is caring! sidhani kama kuna ubaya!
nitakutumiaje sasa kwa kunipigia kura? lol, hivi rushwa ni kosa la jinai au ni shukrani tu?
lol! nilikuwa nangoja tamko tu, basi tuma number nitoe shukrani zangu! lolHahahaaaaaa
Ni shukrani tu kwa huduma iliyotolewa. Takrima inakubalika hata bungeni wanapitisha bajeti ya takrima.
welcome bak, mwana mpotevu! kule mimi huwa nabeep tu kwa kweli!
Kama ni mwanadada tumloge anenepeane kama kitimoto, wanaume wamkimbie afe na mihemko ya ngono.heheheiya nakujaje thatha hubby! uwiiiii nita-enjoyje sasa?? kwanza nani kakuudhi?? tema nimchape! kama ni mwana dada adhabu yake atuangalie wakti tunakaguana! kama ni mkaka nipe nimshughulikie! lol mwahhhhh hubby!
lol! nilikuwa nangoja tamko tu, basi tuma number nitoe shukrani zangu! lol