Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

Remmy wallah umebadilisha avatar nikabaki najiuliza maswali kuliko majibu! kwanza nitumie number yako ya m-pesa nikutumie madoller! lol!

Kwanini umejiuliza maswali mwaego?
Umejuaje Kama ATM haiomi mpaka sasa?
Nakupm nami nikale japo mihogo hapo nje.
 
Last edited by a moderator:
Nasubiri majibu......sijui atapitishwa nani wallaih daaah!! Mapigo ya moyo yanienda mbioooo mie


Nakuona tuu hapa sijui hujasahau kule ulikotoka
my wife Yummy leo wapi sasa
 
Last edited by a moderator:
Kwanini umejiuliza maswali mwaego?
Umejuaje Kama ATM haiomi mpaka sasa?
Nakupm nami nikale japo mihogo hapo nje.
nitakutumiaje sasa kwa kunipigia kura? lol, hivi rushwa ni kosa la jinai au ni shukrani tu?
 
Last edited by a moderator:
heheheiya nakujaje thatha hubby! uwiiiii nita-enjoyje sasa?? kwanza nani kakuudhi?? tema nimchape! kama ni mwana dada adhabu yake atuangalie wakti tunakaguana! kama ni mkaka nipe nimshughulikie! lol mwahhhhh hubby!
Kama ni mwanadada tumloge anenepeane kama kitimoto, wanaume wamkimbie afe na mihemko ya ngono.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…