upo mwanadada?? mzima weye?? Asprin amekwambia leo natoka naye?? lol! rahaje sasa?? watu wamempa stress weeeeeee, lakini kumbe hasira zake nafuu yangu!naomba leo niwe muhesabu kura tu ka yule atakaye pata nyingi ndo utatoka naye.
mmmhhhh labda kapeleka kwa rama au zoka TISS, maana kwangu haujafika huo mzigo! ulikuwa unaogopa ODM atakung'oa macho kwa plaiz, nasikia msangi, rama na zoka, wamesema sasa hivi hwang'oi tena kucha wala meno! watang'oa macho, ulimi ili usiwataje tena, kwa plaiz! lol!
mmmhhhh labda kapeleka kwa rama au zoka TISS, maana kwangu haujafika huo mzigo! ulikuwa unaogopa ODM atakung'oa macho kwa plaiz, nasikia msangi, rama na zoka, wamesema sasa hivi hwang'oi tena kucha wala meno! watang'oa macho, ulimi ili usiwataje tena, kwa plaiz! lol!
amina shemeji! Nayapite mbali.usiombee hayo kwangu please
babu Asprin mie nakushauri utoke na BADILI TABIA
ila angalia usije ukalipuliwa na Sniper riffle
maana kutembea na mrembo kama badili tabia ni sawa na kuikaanga roho yako tena kwa kutumia mafuta ya transfoma.
Khaaaaa! Aisee nilenge ya kifuani asee. kuliko kuachia hii murembo BADILI TABIA.