Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

AM A NEW MEMBER CHITCHAT.
Mnanikaribisha,hamnikaribishi?
Ubabe ubabe tu.
khaaaaaa mgeni mbona kwa mkwala hivyo?? kulikoni?? muone babu Asprin kwanza kwa ukaguzi, na hommie wake Kaizer kwa usajili! halafu utachagua kuendelea na ukaguzi wa babu Asprin au upekuzi wa kina Young_Master na wenzie! babu muonyeshe tofauti ya upekuzi na ukaguzi, achague mwenyewe, kwa picha tafadhali hubby!
 
Last edited by a moderator:

Hahah... Camera angu imenletea ungese. Ntambandikia kesho uthubuhi fundi akimalizamo kuitengeneza.
 
Last edited by a moderator:
nafanya mishe mishe za kuingia maisha baadaye afu kuna mtu ananiziungua so unanishauri nitumie upinde na mshale?

Nina wasiwasi mtoto wa serelaki uliyepelekwa Baby care na kuveshwa daipa utotoni...........Inglishi Akademi halafu baadaye Intaneshino skuli kama utaweza kushika vizuri upinde na mshale.............. Lakini usiwe na shaka ingia na rungu...pigo moja lazima mtu akimbizwe moja kwa moja Apollo.
 
hahahahaha platozoom upo, lakini huvumi, kha!
 
Last edited by a moderator:
sio mimi shemeji, nimekwambia nangoja matokeo ya mlengesho, nadhani umlenge mkeo gfsonwin itapendeza, lol! tumekutana pande zile nimefurahi, ahsante! ila tu jua nampenda hubby wangu Asprin, period!
gfsonwin namlenga kila siku lol si umesema isije ikabaki 96? mkakati ndo huo? apo kwa Asprin kama unantisha vile? khaaa shemeji tenaaaa?
 
Last edited by a moderator:

Nimemaliza makutopora 1989, na tulienda usandaweni kujifunza matumizi ya silaha za jadi! chezeya! hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…